
David Beckham na mkewe, Victoria ‘Posh’, wanaotarajia kupata mtoto wa kike leo (Jumatatu, Julai 4, 2011), taarifa za ndani zinasema kuwa, kipindi chote cha ujauzito kilikuwa shwari kwa sababu ilikuwa ‘full kudekezana’.
Wiki iliyopita, gazeti moja nchini England liliripoti kuwa, Becks aliye staa wa soka wa England anayekipiga katika Klabu ya LA Galaxy ya Marekani, amekuwa akimfanyisha mazoezi mbalimbali mkewe ili yamsaidie kipindi cha kujifungua.

Habari zinasema kuwa, wenzi hao wamepanga kumpa mtoto huyo jina la Atlanta. (Picha iliyotumika hapo juu, ilitumiwa na gazeti hilo la Uingereza lakini si halisi bali imetengenezwa na mpiga picha Alison Jackson ili kuweka mazingira yanayofanana na hali halisi)

No comments:
Post a Comment