![]() |
| kupiga picha kazi kweli bt mara nyingine inabidi kuzoea |
![]() |
| hapa nilikuwa na joseph pain |
![]() |
| nikiwa kazini sitaki utani ha ha ha ...! |
![]() |
| hii ilikuwa nairobi tukifanya shoo na Lady jay dee binti machozi |
![]() |
| huyo wa kwanza hapo ni dada yangu kabisaa....anaitwa Precious! |
![]() |
| mtoto wa kike kuwaza muhimu ati...! |
![]() |
| utamaduni wetu kuuenzi muhimu |
![]() |
| usupastaa mzigo wa mwiba....bt mjue kuwa si kila linaloandikwa lina ukweli |
![]() |
| Shemu wangu Msechu akiwa na mpenzi wake Amariss |
![]() |
| kila shetani ana mbuyu wake na huyu ndo mbuyu wangu |
![]() |
| napenda sana maua........................! |
![]() |
| Nikiwa na meneja wangu na mpenzi vilevile..! |












No comments:
Post a Comment