![]() |
kupiga picha kazi kweli bt mara nyingine inabidi kuzoea |
![]() |
hapa nilikuwa na joseph pain |
![]() |
nikiwa kazini sitaki utani ha ha ha ...! |
![]() |
hii ilikuwa nairobi tukifanya shoo na Lady jay dee binti machozi |
![]() |
huyo wa kwanza hapo ni dada yangu kabisaa....anaitwa Precious! |
![]() |
mtoto wa kike kuwaza muhimu ati...! |
![]() |
utamaduni wetu kuuenzi muhimu |
![]() |
usupastaa mzigo wa mwiba....bt mjue kuwa si kila linaloandikwa lina ukweli |
![]() |
Shemu wangu Msechu akiwa na mpenzi wake Amariss |
![]() |
kila shetani ana mbuyu wake na huyu ndo mbuyu wangu |
![]() |
napenda sana maua........................! |
![]() |
Nikiwa na meneja wangu na mpenzi vilevile..! |
No comments:
Post a Comment